Recent content by Enkaly

  1. Enkaly

    Naomba kujua tofauti kati ya Britain, United Kingdom na England

    unatoa max? haya chukua 100% basi?
  2. Enkaly

    Naomba kujua tofauti kati ya Britain, United Kingdom na England

    typing errow, kikubwa ushaelewa.
  3. Enkaly

    Naomba kujua tofauti kati ya Britain, United Kingdom na England

    Britain or Great Britain ni muunganiko wa visiwa vya nchi vitatu yaani England, Scotland na Wales UK ni muungano wa visiwa vya nchi tano yaani England, Scotland , Wales, Highland ya kusini na Highland ya kaskani. England ni nchi miongoni mwa nchi zinazounda United Kingdom.
  4. Enkaly

    Ni taifa gani kati ya haya ambalo limekuwa na mchango mkubwa zaidi Duniani katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kwa muda wote na kwanini?

    kama kwa kugundua ziwa tanganyika sawa, lakini waswahili walishaligundua siku nyingi kabla yao... I appreciate German the fathers of Mathematics and Physics Duniani, lakini hakuna sayari waliyowahi fika.
  5. Enkaly

    Ni taifa gani kati ya haya ambalo limekuwa na mchango mkubwa zaidi Duniani katika maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kwa muda wote na kwanini?

    Hakuna kama Germany, vita ya kwanza na ya pili za dunia ndizo zilizowatoa kwenye reli. Schlodinger, laplase, Eisteen nk
  6. Enkaly

    Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

    Wewe umetoa dolali ngapi? unataka sema unateknolojia ya kuizidi Iran? Haujui Ibrahim alitokea nchi ya Irani, kabla ya kuamuliwa kwenda atakapomuonesha Mungu?
  7. Enkaly

    Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia

    watu 11,200 hiyo si sawa na bom la nuclear? Mungu atusaidie haswa!
  8. Enkaly

    Waziri Mkuu wa zamani wa Israeli: "Putin aliniahidi kutomuua Zelensky"

    Kuna uhusiano mkubwa sana kwa Kiev na Moscow hasa kupitia imani yao ya kanisa la Orthodox, naamini pengine kusingekua na common interest leo hii kusingekua na taifa linaitwa Ukrain, zaidi ungesikia Kievskaya.
  9. Enkaly

    Hii ni ngome ya underground Yenye uwanja wa ndege chini ya Ardhi ya Jeshi la iran.

    Pamoja na mavikwazo ya kiuchumi, lakini hawa jamaa wako mbele sana. Right kama TZ ingewahi kupata vikwazo vya kiuchumi kama Iran, nahisi tungekua zaidi ya wale jamaa walioigiza god must be crazy..
  10. Enkaly

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    The advantages walizonazo IDF/ Mossad ni kuwa watu wao au asili ya watu wao wapo almost nchi zote duniani. Kwa mfano ukifuatilia historia ya kupanda kwa Hitler Adolph, ni kuwa aliwachukia wayahudi waliokua jeshi la ujeruman baada ya kuonekana ni wasaliti kwa nchi yao ya ujeruman. Na Ujeruman...
  11. Enkaly

    IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

    Nani alikwambia Israel ni wachache? kwa takwim zipi?
  12. Enkaly

    Boris adai Putin alitishia kumuua

    Muongo huyo anatafuta kick, mbona hakusema wakati ule ule aje aseme leo? Na alivyo na kimbelembele hata nzi hafai.
Back
Top Bottom