Hoja zako ni dhaifu sana ndo maana umeweka nyongeza eti mtu asirukie kama ngao, nikupe mfano watoto wa kiislam wangapi wanasoma shule za kikristo kwa bei ile ile sawa na ndg zao wa kiislam ambao kimsing hawatoi michango sawa? ulishawahi kwenda hospital gani ya wakristo ukaonyeshwa menu mbili...
Good analysis brother, mimi si Muislam sina ajira kama asilimia kubwa ya vijana, waumin wa mfumo kristo wengi katika position kama yangu wangehitimisha tatizo ni "Mfumo Kristo'' kuna inferiority watu wanajengewa na viongozi wa dini bila kufahamu athari za baadaye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.