NITAWEZA...
Nilianza kujitambua nikiwa kituo cha watoto yatima, kujijua kuwa mimi ni nani..
Yakuwa mimi sina wazazi! Mimi ni yatima...
Niliwahi kumuuliza mlezi wetu
'Madam mimi nilifikaje hapa?'
Awali hakupenda kunielezea nafikiri alijua muda bado...lakini baadae nilipomuuliza tena na tena...
NITAWEZA...
Nilianza kujitambua nikiwa kituo cha watoto yatima, kujijua kuwa mimi ni nani..
Yakuwa mimi sina wazazi! Mimi ni yatima...
Niliwahi kumuuliza mlezi wetu
'Madam mimi nilifikaje hapa?'
Awali hakupenda kunielezea nafikiri alijua muda bado...lakini baadae nilipomuuliza tena na tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.