Ni hivi,karibu na Jordan kuna hostel binafsi za watu 3,6,4,2, na unalipa 360000,400000,350000 per annum but ukitaka kupanga kwa mtu chumba chenye usalama 65000,70000,per month
Poleni sana ndungu zangu mliokosa mkopo,hakika inauma nina mdogo wangu si wa kuzaliwa nimekutana naye chuo aliugua siku tatu kwa kukosa mkopo.Yote ni kwasababu ya maisha ya nyumbani kwao.Anawaza ni vipi atasoma.Jamani serikali mnatengeneza nini?je taifa la kesho liongozwe na nani?je nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.