Recent content by emoki

  1. E

    Vyumba vya kupanga Jordan-Moro

    Welcome Juco.masomo yameshaanza.
  2. E

    Vyumba vya kupanga Jordan-Moro

    Ni hivi,karibu na Jordan kuna hostel binafsi za watu 3,6,4,2, na unalipa 360000,400000,350000 per annum but ukitaka kupanga kwa mtu chumba chenye usalama 65000,70000,per month
  3. E

    Ubora wa elimu ya chuo kikuu SMMUCO

    Hahahahahaha!ten years ago.usijilazimishe kutumia lugha za watu.
  4. E

    Wanaotaka kuandamana kesho HESLB soma hapa

    Poleni sana ndungu zangu mliokosa mkopo,hakika inauma nina mdogo wangu si wa kuzaliwa nimekutana naye chuo aliugua siku tatu kwa kukosa mkopo.Yote ni kwasababu ya maisha ya nyumbani kwao.Anawaza ni vipi atasoma.Jamani serikali mnatengeneza nini?je taifa la kesho liongozwe na nani?je nchi...
  5. E

    HESLB, mnatufanyia nini hivi?

    Jamani naombeni mnieleweshe Ina maana maombi ya mkopo yanafanyika mara mbili au kuna utaratibu gani?
  6. E

    NACTE waitwika zigo TCU

    Huku ni kurushana roho.
  7. E

    Bachelor of Education in Special Needs

    Hongera nilitamani wanichague ila ndo ivo Mungu hajapenda
  8. E

    Jordan University College, tufahamine hapa

    Acheni dharau eti chuo kipya cha kata.
  9. E

    Naweza kuchaguliwa kozi ya tano niliyoomba?

    Nimetumiwa email kutoka chuoni imeambatanishwa name join instruction and fees structure
  10. E

    Naweza kuchaguliwa kozi ya tano niliyoomba?

    Mi nimejaza vitano ila nimechaguliwa cha nne
  11. E

    Taarifa kutoka TCU

    Jamani Jordan morogoro washapokea majina toka TCU Leo na wametuma SMS pamoja na email kwa walochaguliwa.sijaambiwa na mtu nimeshuhudia
  12. E

    TCU wametoa post tayari

    Bora niwe mpole
  13. E

    TCU wametoa post tayari

    Mi nahic kuchanganyikiwa cjui nimechaguliwa wap
Back
Top Bottom