saw
kusema ukweli mie ni muoga sana wa kusalitiwa maana mimi kusema ukweli nikiwa kwa mahusiano sjuagi kabisa kuchit,,nahisi ndo maana nafanya haya yote huenda ningekua mtu wa mambo mengi nisingekua nafanya ivi yan ningekua dont care chapa ilale...uaminifu wangu kwa kila mpenzi nayekua naye...
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."
Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.