Recent content by Emmanuel_DWSS

  1. E

    Hali ya huduma ya Maji Safi Dodoma

    Hali ya huduma ya Maji safi Dodoma. Kufuatia ongezeko la watu katika jiji la Dodoma lililosababishwa na Serikali kuhamia Dodoma, mahitaji ya maji yaliongezeka kutoka Lita Milion 44 kwa siku mwaka 2017 hadi Lita Milion 133 kwa siku mwaka 2023. Vyanzo vyote vya maji vilivyopo Dodoma vina uwezo wa...
  2. E

    Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

    Mdau pole kwa changamoto hiyo Mimi ni Mkurugenzi wa Usambazaji maji na Usafi wa Mazingira hapa DUWASA. Kwanza ningependa kufahamu eneo uliloishi kwa muda huo wote ukakosa maji, pili nielewe kwa kifupi kuhusu hali ya maji jijini Dodoma. Pamoja na kuhudumia Dodoma Mjini, DUWASA pia inahudumia...
Back
Top Bottom