Tumezoea kuona 'miungano'mingi ktk Afrika,iwe ya kisiasa au kiuchumi kama wanavyodai 'wao'.Lakina yote hii huigwa.Mfano mzuri ni AU inafanana sana na EU,sasa je hili shirikisho tumeiga wapi!?
Ukiangalia ktk EU ni kweli wameungana lakini ile habari ya kuvunja mipaka hiyo haiingii akilini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.