Recent content by Emaahbeth

  1. E

    Emmanuel Okwi atua Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili

    Emmanuel Okwi kusaini mkataba usiku huu mkataba wa miaka miwili Simba. "Yanga wameniacha, nikachukua uamuzi wa kurudi Simba na kuomba kuichezea nao wamenikublia. "Najua Yanga wamenishitaki TFF au Fifa, nitaendelea kulishughulikia suala hilo wakati nikiwa naitumikia Simba. "Nashukuru kwa kuwa...
  2. E

    Tecno N7 inauzwa.

    Nauza simu wadau ya tecno N7, ni white and blak kwa rangi na ina 3G na 2G network. Inatumia Android version ya 4.0 na 5MP camera na ni double line. Bei ni laki 2 mwisho 180000. Aliye interested tuwasiliane niko dar. 0652884040.
  3. E

    HTC MAGIC ANDROID SYSTEM inauzwa Bei ni Tsh. 70,000 tu haipungui

    Mbona ni vodafone mkuu au umeiflash line zote coz me imenivutia kuinunua but natumia tigo. Na je vip what's up ipo availabe humo?
  4. E

    Accer mini lapptop for sale

    Nitakuta mwisho wa mwezi kama bado itakuwa ipo availabe best
Back
Top Bottom