Recent content by elninyo

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Bajaji yajaza abiria kupita kiasi hadi dereva kuendeshea akiwa ametoa kiuno na miguu nje

    Ni hata asubuhi na usiku hali hii ipo kukiwa na msongamano wa abiria
  2. E

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Bajaji yajaza abiria kupita kiasi hadi dereva kuendeshea akiwa ametoa kiuno na miguu nje

    Shida imeanzia kwenye mgomo wa daladala, siku ya Leo Mbeya usafiri wa pikipiki (bajaji, maguta, boda) ulikuwa wa kugombaniwa sana. Migomo hii imekuwa ikitokea mara kwa mara bila muafaka wa kudumu sababu ya conflicts if interests, baadhi ya mamlaka zinazohusika kutoa solution zina watumishi...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Bajaji yajaza abiria kupita kiasi hadi dereva kuendeshea akiwa ametoa kiuno na miguu nje

    Ilikuwa purukushani nimepakua hio video mojawapo kwenye group, nimeona video nyingi maguta yamekuwa kama daladala
  4. E

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Bajaji yajaza abiria kupita kiasi hadi dereva kuendeshea akiwa ametoa kiuno na miguu nje

    Mods Active Boqin Moderator Post haionekani
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Bajaji yajaza abiria kupita kiasi hadi dereva kuendeshea akiwa ametoa kiuno na miguu nje

    Ndugu wanajamii na mamlaka husika, Huu ni uendeshaji hatari sana wa chombo cha moto na ni jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kuwa kawaida. Kama inavyoonekana kwenye video, dereva wa bajaji hii amejaza abiria kupita kiasi hadi amekosa kabisa nafasi ya kawaida ya kukaa. Ili kuweza...
Back
Top Bottom