Kaka, nlimaanisha application aiseee nmefuatilia kwa kina sijapata sabab kama ingekuwa online application nadhan ningeona kwa tovuti yao Lakini sivyo na mawasiliano waliyoyaweka ukiwaConsult hakuna replay yoyote maana hata namba ya simu haipokelewi na sijui nao kama wana utaratibu wa kupokea...
Jamani samahani wanajamvi, naomba kuuliza eti usajiri wa wanafunzi wapya CHUO CHA UWALIMU MARANGU kwa mwaka kwa mwaka 2019/2020 unafanyika Mwezi wa ngapi?? Maana nmefuatilia Sana kwenye tovuti yao sijapata kuona chochote cha kunipa mwongozo, na nahitaji Sana kusoma pale mwaka huu au nmechelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.