Habari wana Jamii, naamini jumatatu inakwenda vizuri. Nimekuwa nafanya Biashara ya kuuza vifaa vya Ujenzi kwa muda kidogo ila sasa hv natamani kuanza biashara ya kununua na kuuza cement toka kwa wakala kutoka kiwandani kabsa au kwenda kiwandani na kuchukua cement kwa jina la wakala kutoka Tanga...
Habari wana Jamii, naamin weekend inakwenda vizuri.
Nimekuwa nafanya Biashara ya kuuza vifaa vya Ujenzi kwa muda kidogo ila sasa hv natamani kuanza biashara ya kununua na kuuza cement toka kwa wakala kutoka kiwandani kabsa au kwenda kiwandani na kuchukua cement kwa jina la wakala kutoka Tanga...
Habari wanajamii,
Jamani naulizia ni godoro la aina gan ambalo ni zuri sana (OG) na bei zake na yanapatikana wap kwa ajili ya watu wazima hasa wa wazee. Mama yangu anakuja mjini kutibiwa nahitaji kununua godoro zuri kwa ajili yake.. Naomba mapendekezo tafadhari lakin wandugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.