Nauona wito na ualimu wako na utayari wenye msukumo wa Mungu katika kuwatumikia wengine (wanafunzi) hilo ni patano lako na Mungu na nia yako ya dhati, Utende hayo ya kurithisha ufahamu na kuelekeza akili za vijana wetu kwa mtazamo chanya, utayari, furaha na kwa tabasamu ambalo Mungu amekujalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.