Recent content by Eliott

  1. E

    JamiiForums Tanzania Nimenunua muda wa maongezi wa 38K Vodacom kimakosa, kama kuna anayehitaji tuwasiliane

    Habari za mda huu wakuu, Daah leo nimejichanganya kidogo wakati nafanya transaction kupitia Vodacom, nikajikuta nimenunua muda wa maongezi wa 38K. Kama kuna mtu anahitaji muda wa maongezi Voda tusaidiane hapo.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Bei za bodaboda used na mpya

    Sawa sawa kaka, shukrani sana
  3. E

    JamiiForums Tanzania Bei za bodaboda used na mpya

    Asante sana mkuu🙏🏽
  4. E

    JamiiForums Tanzania Bei za bodaboda used na mpya

    Habari wakuu, Samahani, naomba kufahamishwa bei ya bodaboda mpya na used pamoja na ushauri wa aina ya bodaboda iliyo bora zaidi kibiashara kwa hapa Dar. Pia, vitu vya kuzingatia kabla ya kununua bodaboda used. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Back
Top Bottom