Nawasalimu ndugu zangu,kulalamika sio tija na hakuna manufaa kwa kulalamika.Tujadili kea mapana yake kitu gani kifanyike tumshawishi Rais yetu atupatie Katiba mpya maana ni kiu ya watu wengi nchi.
Kwa mtazamo wangu binafsi sijaona mantiki ya Mh.Ngeleja kurudisha hela serikalini, hapo ni sawa na kuingilia kesi iliyopo mahakamani au kumpalia mkaa aliyempa hizo Hela. Alipaswa amrudishie aliyempa ili akishindwa kesi aweze kulipa hizo hela zote alizowagawia watu.
Tabasamu kwa wapenda Democrasia hai limefifia ila Patakucha tu!!!!?.
Nimehuzunishwa sana na namna alivyofanya Prof.Lipumba, NI AIBU KUBWA NA FEDHEHA KWA HESHIMA YAKE.
Mtu uache askari katikati ya vita alafu uje na kutaka kuongoza jeshi tena vitani?. Hizi ni siasa za wapi msajili kutoa barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.