Recent content by Elieth54

  1. E

    JamiiForums Tanzania Uhamisho Nactivet unapata moja Kwa moja? Mimi nmemaliza form four nmechaguliwa na serikali chuo cha DIT

    Ñimeombewa na wazazi wangu nactvet vyuo vya afya na nlikua sitaki Sasa wakinichagua ndo nakua nmehamishwa au inakuaje wakuu nisaidieni sitaki kubadilisha nataka nisomee ufundi nilipochaguliwa
Back
Top Bottom