Watu wenye busara na hekima wametoa michango yao toka jana na nime appreciate na imenifungua sana ! Sasa leo unataka nianze kusema nataka kufanya biashara fulan lazma nikae nichekeche kuna watu wamekuja dm na wamenipa shuhuda zao nimejifunza but sio kuja na kashfa kwenye comments as if nimefanya...
Kaka watu wanauliza tena wana hela nyingi kuliko hiyo! Hayo maswali tunauliza yupo mwinginr anaweza ponyeka kwa ushauri wawatu humu usijione perfect sana hii ni dunia tu kaka !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.