Habari zenu wakuu, naomba ushauri kuhusu koz ya kusoma, Nina Elimu ya kidato cha iv 2016 baada ya kutochaguliwa kwenda kidato cha V lkn bado Nina ndoto za kujiendeleza mpaka chuo kikuu.
Naomba ushauri kwa tahasusi(kozi) ya kusoma kwa alama hizi
BIOLOGY-C
MATHEMATICS -D
CHEMISTRY -D
PHYSICS-D...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.