Shalom, Karibu katika Neno la Mungu, na moja kwa moja tusome maandiko katika Yeremia 8
8 Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
Takribani miaka 600 kabla ya Kristo, Yeremia alihubiri Neno la Mungu...