Kuna nafasi flani anampa uyo jamaa ndo maana anaendelea kuwasliana naye, maana navojua mwanamke akitongozwa km hana aja ya kuendelea na mawasliano anakuwa na majibu yenye msimamo ambao mwanaume mwenye akili timamu haezi endelea muda wote huo....chunguza kuna jambo utagundua afu cha kuuliza, mkeo...
Mkeo nae bado anamuintertain uyo jamaa, mtu ameshamkataa kwa ukali na msimamo wa kistaarabu kabisa jamaa atafikiaje hatua ya kumtumia utupu wake? Angalia asije akawa anakupa taarifa tu ujue kuwa kwamba nayeye anapendwa anatongozwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.