Sidhani kama ni busara kufanya hivo.Suala la msingi ni kufanya maamuzi kulingana na mtu alivyoguswa kama yeye binafsi.kama anaona ni bora kujiunga na Movement hii basi na afanye hivo.issue ya makundi n.k sio jambo jema hasa kwa wananchi wanaoitakia mema nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.