Recent content by EKYATA

  1. E

    Waliofuatana na Lowassa CHADEMA

    Sidhani kama ni busara kufanya hivo.Suala la msingi ni kufanya maamuzi kulingana na mtu alivyoguswa kama yeye binafsi.kama anaona ni bora kujiunga na Movement hii basi na afanye hivo.issue ya makundi n.k sio jambo jema hasa kwa wananchi wanaoitakia mema nchi yetu.
Back
Top Bottom