Recent content by ejoki

  1. E

    'P' na 'S' zimefanya nikose mkopo: Je HESLB hawapo makini?

    Nili-resit form 4 kwa hiyo nina namba ya ‘S’ na ‘P’. Profileyangu ya HESLB inasoma ‘S’. NACTE, TCU na chuo inasoma ‘P’. HESLB nimeona nimekosamkopo, reason: NOT applied the loan. Je ni appeal au nikipiga simu tu inatosha,zingatia pia nimamaliza diploma 2011, Naomba ushauri.
  2. E

    UDOM: Selection Batch

    usihofu, subiri batch zingine
  3. E

    UDOM: Selection Batch

    UDOM batch 4, wengi ni wale waliomba kupitia NACTE
  4. E

    TCU na NACTE kuna uhusiano kweli

    kabla ya kulaumu ni vizuri ukaangalia vizuri, upo TCU, unaenda ifm, accounting. Sawa sasa?
  5. E

    Niwatie moyo (selected/notyet/cheking in progress) na jina halionekani

    Usifadhaike jina lako lipo dada Mariam Ambrose Kawala Bachelor Degree in Development Finance and Investment Planning (Institute of Rural Development Planning) KWANI PROFILE YAKO INASOMEKAJE?
  6. E

    UDOM combined SELECTED undergraduate students

    hata mimi pia jina langu halipo kwenye hiyo combined list, naamini kuna batch 3 etc.,
  7. E

    UDOM combined SELECTED undergraduate students

    Kuna wengine majina yao hayapo kwenye batch 2 lakini hapa kwenye new list yapo, try to check.
  8. E

    Second batch UDOM 2014/15

    nimekupata, ila bado kuna utata hata wewe mwenyewe unauona kwenye maelezo. ngoja tusubiri saa moja lijalo mfumo wao utaanza kufanya kazi, tutapeana feedback
  9. E

    Not yet confirmed lakini chuo washatoa second selection na jina halipo

    kuna mtu aliniambia mpaka kuconfirm inaweza kuchukua mpaka wiki 2,
  10. E

    Second batch UDOM 2014/15

    kama chuo hakikutambuii na wao ndio wanaotoa admission, je watatoaje jina ambalo halipo kwnye list/mfumo wao, ufafanuzi tafadhali!!!
  11. E

    Second batch UDOM 2014/15

    sasa barua itapatikana vipi? wakati wanaotoa admission letter ni chuo, na kwenye system ya chuo jina lako halipo, huoni kama kuna uwezekano saa kumi leo, tusione majina kama kwenye list ya chuo haupo?
  12. E

    B.Com in Procurement vs B.Com Accounting

    kuna mtu kabla hajaomba aliulizia kwanza, watu waprocurement wenyewe ndio walikuwa wakwanza kumwambia achague accounting na siyo proc.
  13. E

    TCU warahisisha zoezi la kuona selection

    Uwezekano ni mdogo, ikitokea chuo hawakukuafiki (kwa kawaida ni nadra), ikitokea hivyo utapewa nafasi nyingine (uchague), labda wengine watusaidie wenye uzoefu zaidi
Back
Top Bottom