Recent content by Einstein 40

  1. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Hakuna mahali nimemdogosha Mungu, nachojua Mungu ni muweza wa yote! Na hapangiwi sasa wewe unachotaka ni kumpangia! Akuulize wewe nani?? Huo mfumo unaoutaka unataka aje ake na wewe umwelezee akusikilize ndo afanye! Huo mfumo unaoutaka kama yeye muumbaji hajaweka! Siku akiamua mwenyewe ataweka...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Hakuna mahali nimemdogosha Mungu, nachojua Mungu ni muweza wa yote! Na hapangiwi sasa wewe unachotaka ni kumpangia! Akuulize wewe nani?? Huo mfumo unaoutaka unataka aje ake na wewe umwelezee akusikilize ndo afanye! Huo mfumo unaoutaka kama yeye muumbaji hajaweka! Siku akiamua mwenyewe ataweka...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

    Akili zingine mbovu kweli hata hazifikirii eti hao watu hawajamruhusu yaani kwanza hajawaumba halafu unataka awaulize wewe unawazo la kutengeneza kiti unaweza kukiuliza kwenye mawazo kuwa nikuunde ama nisikuunde sasa chenyewe kitakuwa kimeamua au wewe
  4. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Kuna mahali tuliachia ila nataka kuendelea kidogo! Msimamo wangu zaidi ni upande wa Nuru! Na malejereo ni upande wa Nuru! Hapa duniani ukizungumzia vitu katika ulimwengu wa kiroho na wakimwili vingi na vyote viliwekwa na Mungu! Na upande wote wa giza na mkuu wao Shetani huwa wana copy tu...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Mtu akisha lipata lango anakwenda moja kwa moja kwenye ardhi na kufanya mambo yake, kwa hiyo kuna watu wana weka sawa ardhi halafu lango linakuwa mikononi mwa upande mwingine hapa ndo yale mambo yanaotokea kwa kujirudia rudia, kila baada ya muda!
  6. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Najua kuna viporo vyangu vimo humu pending ntakuja nivimalizie! Kazi zimenibana sana! Na tuje tuelezane kuhusu malango maana si kitu cha kuacha kuzungumzia ukitaka kufanikiwa hapa duniani na kupata ushindi sehemu mbali mbali Usha wahi jiuliza unaweza kukanyaga mkoa fulani au mtaa fulani unakuta...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Somo maridadi kabisa hili, ndugu 7seven! Kuna kajambo nataka kuongezea hapa, kuna kitu kinaitwa Malango! Na malango yamegawanyika katika sehemu mbali mbali! Kuna lango la kuingilia dunia hii( liko pale israel, ukitaka kuvuruga au kuiweka sawa dunia hii basi Israel pale kuna mlango, na Mungu...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Ni kweli kuna jamaa tulikuwa tumesafiri kikazi mkoa fulani tuka lala hotel moja, usiku akajitutumua akanivamia! Nilikuwa nimelala, basi nikamuona( rohoni) anahangaika kila akigeuka afanye yake ninae akaamua kuondoka! Maana alishindwa alichokuwa anataka kufanya, Kesho asubuhi yeye ndo nikamkuta...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Ile kwamba ulikuwa kwenye jiwe ni moja ya dalili kuwa tayari ulikuwa umeshinda, maana maji yaani dhoruba ilikuwa imekuzunguka na wewe uko juu yake tena kwenye jiwe, ukienda kuchunguza ndani ya biblia kuhusu mawe au jiwe ni kuwa Yesu ndiye mwamba na jiwe kuu la pembeni Hii ni ushindi mkubwa kuwa...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Yes, kweli kuna mambo mengine yamefungwa ndani ya wakati au kwa amri maalum, nimekupata mkuu, tengeneza kwanza
  11. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Shida ipo kwa raia wa tanzania na kwa watu walioitwa kwa jina la Mungu!
  12. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Tupo pamoja mkuu 7seven
  13. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Kiukweli 7seven Tanzania ina mambo kadhaa ambayo inaifanya kuwa hivi, cha kwanza moja ya malango ya afrika na Tanzania ni lango! Kwa historia ni nchi ambayo ilisaidia sana ukombozi wa nchi za afrika kuwa huru, nyingi, na imekuwa ikishiriki sana kwa harakati za kiamani! Angalia maraisi wangapi...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Ukitaka kujua Musa alikufa, soma hapa Yuda 1:9 Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee. Na nadhani Mungu hakutaka Musa ajulikane kaburi lake kwa sababu alikuwa...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Unaweza ila yafaa zaidi kwenda moja kwa moja kwenye ardhi ya ulikozaliwa.Maana unapovunja maagano unachukua na hatua nyingine ya kuimiliki, kumiliki huku maanaake umeshavunja sasa maagano nini kinafuata ni kumiliki yaani kuweka kiti kingine cha nuru, na zoezi hili kwa upande wa nuru tulilopewa...
Back
Top Bottom