Kachukue barua ya chuo ulicho dahiliwa ya kuacha chuo then peleka tcu wao ndo wanakufuta kwenye system hata mm nilifanya hvyo mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
mwaka juz kna washkaj walienda kwa sabab walikuwa wanafunz walipewa karatas waandike majina wenye malamiko baadh wakapata second round ila mtembea bure sio sawa n mkaa bure mwaka huu wanatoa kw wanafnz elf 45 tu so hapo wamebaki kama elf 15 ndo watapat na walioomba mkopo wanazid elf 75 unaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.