Nawashukuru wote mliotuelimisha kuhusu swala zima la hisa ila naomba msaada kwa swali langu hili kwamba.....ukiamua kujitoa katika kampuni kuna fidia ambayo inabidi ulipe au ni free at any time kujiondoa?
lakini pia naomba kujua, ukitaka kuuza hisa zako unawezaje kumpata mnunuzi?
Naomba msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.