Recent content by Eddy_

  1. E

    Nimetapeliwa laki 4 Instagram na mtu aliyedai kuwa yeye ni muuza simu anaepatikana Pemba chake chake

    Nime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Back
Top Bottom