Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina.
Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
Nimekupata kiongoz,sasa kwangu mimi NIDA iliotokana na cheti cha kuzaliwa ndo sahihi Jina kamili. ,kosa ni huku katika vyeti vya shule ndo jina lilikosewa je
Na apo niipata iyo deedpoll si naweza kuishi nayo mazima au ina expire date limit
Mdau Hivi mfano mimi Katika NIDA naitwa NGEDERE HAMADI NYANI ila katika vyeti vya form4 na chuo naitwa
NGEDERE HAMAD NYANI ,yani tofauti kule jina la kati lina "I" ila huku hamna "I" je apo nahitaji nini cha kufanya ili mambo yakae sawa.
Mdau Hivi mfano mimi Katika NIDA naitwa NGEDERE HAMADI NYANI ila katika vyeti vya form4 na chuo naitwa
NGEDERE HAMAD NYANI ,yani tofauti kule jina la kati lina "I" ila huku hamna "I" je apo nahitaji nini cha kufanya ili mambo yakae sawa.
Wadau naomba kufahamu,hivi katika suala la kuajiriwa kwa vyeti, iwapo jina lako la kati herufi moja haifanani katika vyeti na nida
Mfano, Jina la kati huku ni "Hamad" na kule ni "Hamadi". Tofauti ni uwepo wa herufi "I" ya mwisho
Je? Kuna effect gani apo na kuna namna yoyote ya kusolve apo ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.