Lete ushahidi turned kama ni kweli!!
Acheni Propaganda uchwara mnasubiri IDF waanze kushusha kipondo ndipo nanyi muanze kutoa milio ya kubwawaja mnauliwa kwa kisingizio cha Makanisa na shule?
Wayahudi sisi Wakristo tunawaunga mkono sana kama kanisa linahifadhi silaha libomolewe tu maana...
Katika uvamizi uliolengwa na vikosi vya Shayetet 13, vinavyofanya kazi kama sehemu ya kikosi kazi cha Givati Brigade, mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji kusini mwa Lebanon.
"Ndani ya shule, wanajeshi walipata mamia ya silaha, ikiwa ni pamoja na roketi za kupambana na...
Ndiyo maana habari zenu zote zimejaa uongo na Upotoshaji mkubwa mnatumia video na picha kupotosha watu wajinga tu.
Mnaacha video isiongee badala yake mnaweka maneno ya uongo kwenye video na picha hizo swali langu kwenu!!
Kwa nini ham ruhusa video ya Waziri Mkuu Benjamini Netanyahu na ile ya...
Taarifa ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu:
"Tunaendelea kushambulia kwa nguvu malengo ya utawala wa kigaidi wa Iran.
Jana usiku, tulimwangamiza Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi. Mtu huyu alikuwa na damu nyingi mikononi mwake; pia ndiye aliyeongoza kufungwa kwa Mlango-Bahari...
Huu ni uongo mnaoueneza ili kujifariji kwa kipondo Hezbollah na Bwana wake Iran!! Hii haiwezekani kwa kamanda au magazeti ya nchini kulizodoa Jeshi la nchi yao!!
Habari hii ni moja kati ya Propaganda zinazotumiwa na Magaidi wa Hezboullah na IRGC ili kuficha aibu wanayopata kwa viongozi wao...
Huu ni Ujinga mnaojazana vichwani mwenu.
Kwa sheria za kijeshi kwa nchi yoyote hakuna Kamanda anaweza kulivua nguo Jeshi analolitumikia!!!
Lakini kwa sababu ninyi mnaongoza kwa Fake-News ili kujifariji na kujipa moyo kutokana na IRGC kupata kipondo cha Mbwa-koko kwenye uwanja wa vita...
Ulivyo mjinga na mpumbavu Warabu-koko wenzako huwezi kuwatakia maana wenyewe fake-News mnazijua sana na sasa mmeamua kufichiana Siri lakini sisi tu Naona Post zenu zinazounga mkono ugaidi!!
Jeshi la Anga la Israeli lilifanya shambulio sahihi huko Bandar Abbas ambapo Alireza Tangsiri, ambaye alikuwa kamanda wa Jeshi la Wanamaji la IRGC kwa miaka minane iliyopita aliondolewa.
Tangsiri alihudumu katika nafasi kadhaa muhimu ndani ya Jeshi la Wanamaji la IRGC, ambapo alisimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.