Mayor wa New York aliamua kuwadanganya waislamu wenzake kuwa eti endapo Mwamba Benjamin Netanyahu atatembelea New York atamkamata kitu ambacho ni uongo wa mchana kweupe!!wajinga tu wa kiislamu ndiyo wanaweza kuamini mtu kama mayor wa New York anaweza kumkamata Mwamba!!!
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ameondoka kwenda Washington.
Kabla ya kupaa alisema: Kutokana na uzoefu wangu kama Waziri Mkuu, katika nyakati hizi ngumu lazima tuchukue hatua kwa azimio kubwa na hekima kubwa. Tutajadili masuala yote kwenye ajenda, kwanza kabisa, Iran. Ninaanza safari...
Jumla ya nchi 82 kati ya 125 wanachama wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) zilipiga kura muda mfupi uliopita kuunga mkono kuondolewa kwa Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Ubakaji, Karim Khan, ambaye alitoa hati za kimataifa za kukamatwa dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Waziri wa...
⚠️picha⚠️
Magaidi 2 waliuawa katika shambulio lililolenga gari la magaidi kwenye mlango wa al-Zahra, kaskazini magharibi mwa kambi ya Nuseirat katikati mwa Gaza.
Magaidi wa Hamas wanazidi kupukutishwa tuwaombee tu!!
Tena, ndege ya upelelezi ililenga eneo karibu na Makutano ya al-Samer katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.