Lazima wewe ni Mwarabu-koko tu maana watu wenye akili mgando kama wewe hamkawii kutukana!!
Endelea tu kutukana maana ndivyo mlivyokaririshwa na waarabu!!
Uzuri nimekuuliza hao wanapinga utawala wa Ayatollah huko Iran wewe huwaoni bali kwa kuwa umemezeshwa uongo na waarabu nawe ukaufakamia bila kujua!!
Umejazwa CHUKI za kijinga za waarabu dhidi ya Wayahudi!!
Israel si adui wa afrika kama ulivyoaminishwa na Wafuga Midevu na Majini wenzako!!
Ujinga uliomezeshwa na waarabu ndiyo unaokusumbua!!
Ndiyo maana nasema wewe ni Mjinga sana na ukinga wako ndiyo unakusumbua sana!!
Jiulize huko Iran wote wanaunga mkono utawala wa Ayatollah? Kuna watu wengi...
Wanawake na watoto ndiyo imekuwa kichaka cha kujificha kuficha Ugaidi wenu?
Niambie hii Mizoga yote ni wanawake na watoto akiwemo Gaidi Ayatollah Ali Khamenei? Acha ujinga!!
Israel ilifanya mfululizo wa mashambulizi makali ya anga kusini mwa Lebanon, ikishambulia Nabatieh na Nabatieh al-Fawqa, ikiwa ni pamoja na eneo linalozunguka Mtaa wa Mahmoud Faqih, kwa kutumia mkanda wa moto uliojikita. Risasi za Bunker-buster zilitumika.
Zaidi ya magharibi, Al-Mansouri...
Shambulio la Israeli kwenye gari karibu na Makutano ya Hamid katika kitongoji cha magharibi mwa Jiji la Gaza cha Al-Nasser lilimuua Yusuf Akila, anayejulikana kama Abu al-Walid, na binti yake Wafa, huku wengine 6 wakijeruhiwa.
Akila alikuwa kamanda wa jeshi la Hamas na mlinzi wa zamani wa...
Hizo ni ndoto zako wewe tu lakini ukweli waarabu ni adui si kwa Wayahudi tu hata kwa waafrika!!
Angalia wana yote za ndugu zetu walioko huko uarabuni utashangaa sana likitokea Bumunda linaunga mkono waarabu!!
🚨
🚨 INA REPOTIWA KUWA IRAN INAPANGA KURATIBU MASHAMBULIZI KWA ISRAELI
Idara ya ujasusi ya Israel inaripotiwa kuashiria Iran ikitaka kusawazisha shambulio kubwa dhidi ya Israel linalohusisha Hamas, Hezbollah, Houthi na wanamgambo wa Iraq.
Tathmini hiyo inafuatia ripoti za awali za kijeshi...
🚨Waziri Mkuu wa Israeli Netanyahu ameitaja Qatar hadharani kama nchi "yenye uadui".
Maoni yangu: Kauli hii inaashiria mabadiliko makubwa rasmi katika uundaji wa diplomasia. Qatar imekuwa mpatanishi muhimu katika mazungumzo ya kikanda kwa muda mrefu, kwa hivyo kuyaita kama uadui kunaashiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.