Recent content by Echolima1

  1. Echolima1

    IDF: Mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji cha kusini mwa Lebanon

    Lete ushahidi turned kama ni kweli!! Acheni Propaganda uchwara mnasubiri IDF waanze kushusha kipondo ndipo nanyi muanze kutoa milio ya kubwawaja mnauliwa kwa kisingizio cha Makanisa na shule? Wayahudi sisi Wakristo tunawaunga mkono sana kama kanisa linahifadhi silaha libomolewe tu maana...
  2. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    UnavijuaVifaru 21 na unaelewa maana Operation 94 au unasoma tu propaganda zako na kudanganya watu?
  3. Echolima1

    IDF: Mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji cha kusini mwa Lebanon

    Lete ushahidi turned kama ni kweli!!
  4. Echolima1

    IDF: Mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji cha kusini mwa Lebanon

    Ndivyo mnavyodanganyana kwenye Madrasa yenu?
  5. Echolima1

    IDF: Mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji cha kusini mwa Lebanon

    Katika uvamizi uliolengwa na vikosi vya Shayetet 13, vinavyofanya kazi kama sehemu ya kikosi kazi cha Givati Brigade, mamia ya silaha zapatikana ndani ya shule katika kijiji kusini mwa Lebanon. "Ndani ya shule, wanajeshi walipata mamia ya silaha, ikiwa ni pamoja na roketi za kupambana na...
  6. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Ndiyo maana habari zenu zote zimejaa uongo na Upotoshaji mkubwa mnatumia video na picha kupotosha watu wajinga tu. Mnaacha video isiongee badala yake mnaweka maneno ya uongo kwenye video na picha hizo swali langu kwenu!! Kwa nini ham ruhusa video ya Waziri Mkuu Benjamini Netanyahu na ile ya...
  7. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    TAQIYYAH!!! TAQIYYAH!!! pamoja na Propaganda kama hizi haziwezi kuzuia Magaidi kupigwa mpaka wachakae!!
  8. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Acha TAQIYYAH zako msikilize Mwamba mwenyewe akitoa taarifa!!
  9. Echolima1

    Taarifa ya Mwamba waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa ulimwengu!

    Taarifa ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu: "Tunaendelea kushambulia kwa nguvu malengo ya utawala wa kigaidi wa Iran. Jana usiku, tulimwangamiza Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Walinzi wa Mapinduzi. Mtu huyu alikuwa na damu nyingi mikononi mwake; pia ndiye aliyeongoza kufungwa kwa Mlango-Bahari...
  10. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Huu ni uongo mnaoueneza ili kujifariji kwa kipondo Hezbollah na Bwana wake Iran!! Hii haiwezekani kwa kamanda au magazeti ya nchini kulizodoa Jeshi la nchi yao!! Habari hii ni moja kati ya Propaganda zinazotumiwa na Magaidi wa Hezboullah na IRGC ili kuficha aibu wanayopata kwa viongozi wao...
  11. Echolima1

    Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Huu ni Ujinga mnaojazana vichwani mwenu. Kwa sheria za kijeshi kwa nchi yoyote hakuna Kamanda anaweza kulivua nguo Jeshi analolitumikia!!! Lakini kwa sababu ninyi mnaongoza kwa Fake-News ili kujifariji na kujipa moyo kutokana na IRGC kupata kipondo cha Mbwa-koko kwenye uwanja wa vita...
  12. Echolima1

    Mada:Je, mchakato wa kuhakiki taarifa kwenye vyombo vya habari unaendana na kasi ya kuenea kwa taarifa potoshi?

    Ulivyo mjinga na mpumbavu Warabu-koko wenzako huwezi kuwatakia maana wenyewe fake-News mnazijua sana na sasa mmeamua kufichiana Siri lakini sisi tu Naona Post zenu zinazounga mkono ugaidi!!
  13. Echolima1

    Mlango bahari wa Hormuz waitesa Iran

    Jeshi la Anga la Israeli lilifanya shambulio sahihi huko Bandar Abbas ambapo Alireza Tangsiri, ambaye alikuwa kamanda wa Jeshi la Wanamaji la IRGC kwa miaka minane iliyopita aliondolewa. Tangsiri alihudumu katika nafasi kadhaa muhimu ndani ya Jeshi la Wanamaji la IRGC, ambapo alisimamia...
  14. Echolima1

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Sioni mkiongelea nchi za uarabuni zinazotesa mabinti walioko huko!!! Wanayowaingilia kinyume na maumbile ni haki? Mnajifanya hamuyajui hayo?
Back
Top Bottom