Recent content by Echolima1

  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Usalama wa Israel Itamar Ben Gvir awakaribisha Magaidi wa Flotilla Sumud Israel!!

    Itamar Ben Gvir alisababisha malalamiko ya kimataifa baada ya kuchapisha video inayoonyesha akiwadhihaki wanaharakati wa meli za Gaza zilizokuwa zimefungwa katika bandari ya Ashdod. Katika kipande hicho, Ben Gvir anapeperusha bendera ya Israeli huku wanaharakati wakipiga magoti chini huku...
  2. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Vya ccm vyote pia vipo kwenye hifadhi ya barabara lakini wana Chadema hawavigusi kabisa!!! Ccm wanakaribia kukata moto ndiyo maana wanaruka-ruka ovyo!!
  3. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Trump, anatafuta pakutokea anasema Nimeombwa Qatar, Saudi Arabia, United Arab Emirates, nisiwashambulie Iran.

    Mbona unajilizaliza sana shida nini? Mlango bahari wa Hormuz hapapitiki mpaka kwa idhini ya Marekani kwa hiyo tulia dawa iingie Acha kubwabwaja ovyo. Kwa akili yako ndogo unafikiri nani Kiongozi wa Iran kwa sasa?
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Trump, anatafuta pakutokea anasema Nimeombwa Qatar, Saudi Arabia, United Arab Emirates, nisiwashambulie Iran.

    Acheni kujilizaliza kipigo kiko palepale kwa Iran asipojirekebisha!!
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakijipanga upya kuivamia Israel ikiwatumia watoto zaidi!!

    Siwezi kuwauzia Wafuga Midevu na Majini!!
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wakijipanga upya kuivamia Israel ikiwatumia watoto zaidi!!

    Baada ya magaidi wa Hamas kushindwa vibaya kwenye uvamizi wao wa Oct 07,2023 sasa magaidi hao wanajiandaa upya kwa Oct 7 nyingine!! Safari hii inawatoa kafara vijana na watoto wadogo ili wakafe SHAHIDI wakiaminishwa wataenda kukabidhiwa Mabikira 72 wawabikiri na kuwa huko watakuta Mito yenye...
  7. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Narudia tena wewe ni Mjinga neno mjinga si tusi!! Wewe na wafuga midevu na majini wenzako ni Wajinga mnatakiwa kurudi shule mkajifunze muondoe ujinga!! Sikiliza clip hii kuna uwezekano ukaelewa ila kama kiingeleza shida waweza nirudia nikakupa ufafanuzi kuliko kusubiri uone Made in Israel
  8. Echolima1

    JamiiForums Tanzania IDF yaanza kuwashughulikia Magaidi wa "Global Sumud Flotilla"

    Magaidi wakijilizaliza baada ya kukamatwa!!
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania IDF yaanza kuwashughulikia Magaidi wa "Global Sumud Flotilla"

    Israeli imeanza kuizuia meli ya Magaidi wa kiislamu ya "Global Sumud Flotilla" inayoongozwa na Uturuki iliyoondoka Uturuki kuelekea Ukanda wa Gaza mnamo Mei 14, huku vikosi vya majini vya Israeli vikipanda meli. Msafara huo ulikuwa na boti 54 zilizokuwa zimebeba wanaharakati wapatao 500...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Soma hiyo labda ujinga utakutoka!!
  11. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Acha kujilizaliza tuambie wewe umegomea bidhaa gani? Acha kutumia simu na Computer kuna Componets za Taifa teule!!
  12. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Tuambie wewe umegomea nini maana Simu na Computer kuna vitu vya Taifa teule!!!!!
  13. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Siwezi kujibishana na Mjinga kama wewe kwa vitu ambavyo mtoto mdogo anaweza kukujibu angalia hapo chini wakati ukisubiri Made in Israel
  14. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Kwa UHARO huu ulioutoa inaonyesha jinsi gani ulivyo mjinga!!!! Uzi unawataka Wafuga Midevu na majini wote mgomee kununua bidhaa zote kutoka Israel ikiwemo Simu na Computer sijui wewe kapuku umegomea mitandao ipi? Au simu na computer?. Nawaambia tena Israel ni kama Maji usipoyanywa basi...
  15. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Waislamu wote kugomea kununua bidhaa zote kutoka Taifa teule la Israel!!.

    Ndiyo maana nakwambia wewe ni Mjinga unasubiri uone Made in Israel wakati huo hujui Chip ya simu yako hujui imetengenezwa wapi harafu unataka mimi nikuodheshee bidhaa rudi shule ukaondoe ujinga wako...
Back
Top Bottom