Mashoga tu ndiyo wanaamini lakini Kiukweli hawezi Hana ubavu huo na yeye anajua wapi kuwa akiitumia tu ndiyo naye utakuwa mwisho wake kitu ambacho Putin hawezi kulifanya.
Acha kupotosha umma!!Hapo NATO haw app kabisa,fikiria Kama Russia kashindwa tu kuukamata mji mkuu Kiev miezi 8 sasa anahangaika Je wazee wa mitulinga wangekuwa huko kazi wangekuwa wameimaliza kabisa.Kwanza sasa hivi Russia Askari wake wengi wameliwa huko Ukraine ndiyo maana Putin kaandikisha...
Usitufanye wajinga Kama wewe!!Mfano wako ulioutoa si sawa Kenya wako Somalia Kama Peace-Keeper.Ni ujinga kusema askari wa Ukraine wamefyekwa labda umefyekwa wewe na ujinga wako wa kutoelewa mambo.Urusi sasa hivi anapigwa mpaka anakimbia kwenye uwanja wa mapambano na anakimbilia mijini Kwa raia...
Superpower gani tena?Huyuhuyu Russia anayehangaika na Ukraine Kwa miezi 8? Kama ni hivyo basi atakuwa Superpower Uchwara!!Angekuwa wa ukweli angefanya Kama alivyosema kuwa masaa 72 atakuwa ameiteka Ukraine yote nashangaa mpaka sasa hivi bado anahangaika na kulalamika ovyoovyo!!!
Unaiunga mkono mvamizi Russia Kwa Utu gani anaoufanya huko Ukraine?Misingi gani ya uti unakimbia Mstari wa Mbele na unawafuata raia wasio na silaha unawaua unaharibu Marengo yao na unaharibu miundombinu Yao ya kiraia harafu wewe unapata una siti kusema unaiunga mkono Russia Kwa uhalifu wa namna...
Watu wakishindwa njia zao zote na wakashindwa na kwenye uwanja wa vita hutoa maneno Kama hayo maana yake wameshindwa vita wanatafuta sehemu ya kutokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.