YERicko uwe na adabu muache maneno machafu,ndo maana watanzania hawato wapa chadema nchi coz hawana control ya vinywa vyao na maamuzi,shivji ni wa umri wako ?????? mbona huna nidhamu wewe na wenzio....ama kweli akili na busara zenu ni fupi na zinaelekea zero grade.
Serikali tatu haina nafasi tanzania mtaishia kupiga madomo mwishowe mtanyamaza!ccm ni mali ya umma na maamuzi yake yataheshimiwa na umma,hamtaki hamieni nchi jirani...........hongera prof.shivji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.