Biashara ya pharmacy ni biashara kubwa na inahitaji umakini katika kuifatilia, changamoto zilizopo zimepata suluhisho na e-store mfumo maalumu wa kidijitali kwenye duka lako utakao kuhakikishia usalama wa taarifa na maendeleo ya biashara yako kupitia simu yako ya mkononi.
Sasa tupo Tanzania...
No na maduka mengine ya aina zote unaweza kutumia system hii. Tafadhari nitafute WhatsApp no 0763200859 nikuoneshe jinsi inavyofanya kazi katika biashara ya aina zote
e-pharmacy ni mfumo wa komputa dukani kwako utakaounganishwa na aplikesheni ya simu yako kupata ripoti ya mauzu ya siku, wiki hata mwezi, ukiwa popote pale.
Utaweza kuhifadhi taarifa za duka lako katika njia salama za kwa mfumo huu.
huhitaji kuja dukani kujua mauzo na faida, kiasi cha mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.