Recent content by Dwadwa

  1. Dwadwa

    JamiiForums Tanzania Kuna haja kwa mamlaka husika kuangalia upya mikopo ya mitandaoni

    Hizi apps za mikopo zina matangazo ya Fb na Google(Admob), wanapiga hela kupitia matangazo ya Google(Admob) na Facebook Ads, Hii kukopesha wanafanya kama chambo ili wapate downloads za kutosha ili walipwe hela nyingi zaidi. Me wakijipitisha nawalamba.
Back
Top Bottom