Tunauza magari ya watoto kuanzia miezi 6 hadi miaka 15 tupo dar es salaam...
yapo ya rangi na size/muonekano tofautitofauti..
Unachaji siku masaa 12 na pia yanatumia rimoti,na mengine yana muziki kabisa piga 0627474141/0773474141
MNUNULIE MWANAO ZAWADI HII NZURI HASA MSIMU WA LIKIZO ATAENJOY...
Mimi kuna siku nilizunguka kariakoo karibu masaa matano natafuta njia ya kutokea ili nije nipande gari nirudi mbagala.. wakati naenda nilikuwa na mwenzangu ambaye tuliachana katikati pale mitaa ya azam icecream sijui pale..maana kila mtu alifata mahitaji yake...
Sasa mimi baada ya kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.