Watanzania wapambanaji wenzangu habari.
Moja kwa moja kwenye mada hapo juu.Binafsi nimekuwa nakereka na tabia ya baadhi y watanzania wenzetu ambao wamegeuza maeneo ya kupumzika,majengo ya abiria na vyombo vya usafiri kama sehemu ya kufanyia mahubiri au mtangazo ya dini.
Hii imekuwa too much...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.