Recent content by DULLAHYO

  1. D

    Mwalimu wa maths, Physics na chemistry

    nitafute 0783653704 kuanzia saa tisa mchana ok! Nitakusaidia
  2. D

    Electrical v/s telecom engineering

    jaman wana jamvi hivi kati ya hizi kozi mbili ipi ipo poa zaidi!
  3. D

    Jamani ukitaka kubadili kozi tcu sasa hivi inawezekana

    wadau nisaidieni et ukitaka badili kozi tcu sasa hivi inawezekana?
  4. D

    Wale wa st.joseph tawi la dar es salaam

    nipigie 0783653704 mimi nimechaguliwa pia pale na joining instruction ninayo!
  5. D

    Tarehe za kuriport st. Joseph university zatajwa

    gazeti la mtanzania la jtano leo limetoa tarehe na siku za kuripot chuo kwa undergraduate
  6. D

    Ni kweli au watu wanazusha!

    acha kutishana hata kama mtu alisoma pcb ila chuoni kuna engineering maths and mechanical maths mtu aki2lia anatoka sio kama pcb wote hawajui maths.
  7. D

    Jkt ipo kama kawaida......!!

    hizo ni ronja tu!
  8. D

    Ni kweli au watu wanazusha!

    kaka husahau! Kwan kwenye hyo coz tatizo ni nini!
  9. D

    Ni kweli au watu wanazusha!

    kaka hapo pcb anaweza akamaliza?
  10. D

    Ni kweli au watu wanazusha!

    hivi ni kweli kuwa hii BCS OF ELECTRICAL AND ELECTRONICS ENGINEERING NI NGUMU SANA!
  11. D

    Hot topic abt engineering

    duh wakubwa wanaipinga PCB Hapa sio bure kuna kitu! Unajua pcb ni ngumu kuliko pcm kama mtu alimudu pcb hawezi shindwa engineering mpo hapo! Mimi anko wangu alisoma pcb na chuo akachukua bcs ya telecom sasa yupo airtel anakula tano!
  12. D

    Hot topic abt engineering

    achen kukatisha watu tamaa st. Joseph wanajua umuhimu wa hawa watu ndo maana wanajitahidi kutoa elimu bora kwa hyo tusipige madongo vyuo!
  13. D

    Hot topic abt engineering

    acha kujitoa ufaham bro hyo ni typing error!
  14. D

    st. Joseph university in tanzania tukutane hapa

    acha utani bro mwaka wa nne india anafuata nini na unajiripia au? Halafu et hii falcut ya electronics and communication eng v/s electrical and electronics eng ipi ni best zaidi?
  15. D

    Hot topic abt engineering

    ninavyojua engineering ni physics na kwenye physics kuna hesabu sasa ukirudi kwenye ukweli utaona hawa wote pcm na pcb wamesoma physics na sometimes pcb ndo anajua zaidi physics kuliko pcm na hili mnaliongeleaje? Ila si kuna pcb wanahitimu engineering nahisi kila kitu ni kujitoa tu.
Back
Top Bottom