Recent content by DUASMaka

  1. D

    SoC04 Elimu ni moja ya nguzo kubwa na muhimu katika safari ya kuyasaka mafanikio

    Elimu ni moja ya nguzo kubwa na muhimu katika safari ya kuyasaka mafanikio. Nchi ya Tanzania inatambua hilo na hadi kuweza kuwekeza katika elimu kwa wananchi wake. Tanzania imeweka kipaumbele kikubwa katika utoaji wa elimu kwa wananchi wake. Tangu mwaka 2016 hadi sasa nchi yetu inaendelea...
  2. D

    SoC04 Haya yafanyike ili kuifikia Tanzania tuitakayo

    Mshindi atatangazwa lin mkuu
  3. D

    SoC04 Haya yafanyike ili kuifikia Tanzania tuitakayo

    Unasomeka kiongozi enhee... then..
  4. D

    SoC04 Haya yafanyike ili kuifikia Tanzania tuitakayo

    Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi kiasi cha kuweza kuihudumia dunia katika mambo mbalimbali kama chakula, sekta ya madini na hata mavazi endapo zitatumika vema. Tangu kipindi cha uongozi wa Rais na Baba wa taifa J.K Nyerere maneno haya yamekuwa yakisemwa na viongozi na wanamapinduzi...
Back
Top Bottom