Recent content by drue

  1. D

    Kilimo gani naweza kufanya kwa mtaji wa 200,000?

    Nina mtaji wa shilingi laki mbili lakini nimeona biashara itakayoniingizia hela nzuri na kuchukua muda wangu kiasi nikiwa najipanga ni kilimo. Je kilimo gani ni kizuri hata nikiwa na heka moja naweza fanya na nikapata faida?
Back
Top Bottom