Mzee lkn kavuka mipaka...halafu alionekana kapanic anaongea kwa hasira sana kama kagombana na mtu palepale...kashndwa hata kucontroll anger mbele ya umati wa watu....yan nimemdharau sana kwakwel kabla ya hapo mwanzo...
Mm nimemsikia mwenyewe kwa masikio na macho yangu., kasema 'wapumbavu....malofa...'
Kaishiwa hana sera lkn nadhani alikuwa anajitahidi kujipendekeza ili kulinda maslahi yake...
Na hawaponi mwaka huu...
Wananchi wa Kigamboni wana hasira nae mpaka basi. Sijui atakwenda kuwaambia nn!?
Meli ya Dar-B/Moyo ni chakavu cha mwaka 1978 lkn kimenunuliwa kwa Bilion9. Uwezo wake ni pungufu mara mbili kwa Meli mpya ya Azam link ya mwaka 2015 ambayo imenunuliwa kwa Tsh Bilion sita...
Kwasababu kutokuwemo kwa jina la mpiga kura kwny daftar sio kosa la mpiga kura bali ni uzembe na kosa la NEC. Uzembe wao pengine wa makusudi unamkoseshaje haki mpiga kura!? Njama hzo za kipumbav zimeshapitwa na wakati, watu waelimike waweze kusimamia haki zao za msingi bila kutapeliwa.
Wakati wa kampeni watu waelimishwe kuhusu haki yao ya kupiga kura ilimradi ana kitambulisho halali cha kupiga kura hata kama jina halimo kwny daftari la wapiga kura.
Msimlaumu xana mtoa mada, huenda kalewa. Mwny akili timamu hawezi kuandika upuuzi namna hyo halafu anajifanya kasoma. Yan ccm wahangaike watumie kila mbinu wanazoweza pamoja na kuwatumia hawa mbulula kwny social media lakini mwisho wao ni October25 mwaka huu. Kampeni za mabadiliko wanatupigia...
Mm nadhani, ikiwa mtu anacho kitambulisho halali cha kupigia kura ana haki ya kupiga kura hata kama jina halimo kwny daftari la wapiga kura. Kama wanaleta mambo ya kihuni kudhulumu watu haki hii yao basi wameamua kuivuruga hii nchi. Ushahidi wangu kwamba nina haki ya kupiga kura ni kitambulisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.