Recent content by drlaptops

  1. drlaptops

    JamiiForums Tanzania Hizi hapa keyboard shortcut muhimu uzifahamu

    1. Copy na Paste COPY, bonyeza CTRL+ C na ku PASTE, CTRL+ V 2. Undo ( kurudisha kitu ulichokua unafanya) Kama umefuta kitu na ukataka kukirudisha , bonyeza CTRL+Z. 3. Windows Task Manager Ukiwa na Program ambayo Hai respond na imekataa ku close bonyeza CTRL+ ALT+ DELETE kisha chagua hiyo...
  2. drlaptops

    JamiiForums Tanzania PC yako imegoma kuwaka?

    Sababu za PC yako kutowaka ni; Note: hakikisha umeiweka kwenye chaji yawezekana chaji ilikuwa imeisha. Isipowaka ... tatizo linaweza kuwa; ✓ Charger imeharibika ( adaptor au power cable mbovu) ✓ Battery imeharibika. ✓ Motherboard mbovu. ✓ RAM mbovu. ✓ Video card mbovu.
  3. drlaptops

    JamiiForums Tanzania Haya ndo madhara ya virus kwenye computer

    ✓ Hufanya computer kuwa slow. ✓ Hufanya kompyuta kuchemka sana. ✓ Hufuta data na mafaili katika computer. ✓ Huleta madhara ya kudumu kwenye hard disk ( permanent hard disk damage). ✓ Huingilia na kuharibu mfumo wa uendeshaji wa computer ( operating system damage).
Back
Top Bottom