Ninaomba kuwasilisha kero kuhusu ucheleweshaji wa utoaji wa barua za uhamisho kwa baadhi ya watumishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo.
Inadaiwa kuwa baadhi ya barua za uhamisho zimekuwa zikiwasili ofisini kwa muda mrefu, lakini watumishi husika hawajaitwa au kupewa taarifa kwa wakati ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.