Watanzania wanajuantaifa lao linakwenda wapi na ndo maana hata haraka hawana nikiwa miongoni mwao hasa kwenye uchaguzi wa mambo muhimu kwa taifa ,hapa linasubiriwa tangazo la siku ya kupiga kura na kujiandikisha kwa maeneo yaliyobaki then tukachague mustakabali wataifa letu kwa kura kibao za ndiyo!
unacheka nini Limbwata la Chenge limekolea nini?ndio maana na wewe umeanza kumtaja jiangalie usipoteze muda wako katiba mpya haizuiliki wananchi tunaitaka.
unacheka nini Limbwata la Chenge limekolea nini?ndio maana na wewe umeanza kumtaja jiangalie usipoteze muda wako katiba mpya haizuiliki wananchi tunaitaka.
Tatizo lako wewe umesoma kipande kimoja badala ya kuisoma ibara yote hiyo, kasome tena vipengele vyote utaelewa na kuelimika, na hiyo ibara ya 129 imefafanuliwa vema tena kwa maelezo ya ziada nakwambai kuwa Bunge litatunga sheria itayoeleza muda gami wa kufungua hizo akaunti na nani anapaswa...
Ndugu kawaulize UKAWA kwa nini walitoka bungeni?ina maana sisi wananchi tuliwatuma kukimbia mijadala ya bunge??? Je ni kweli Chenge ana Katiba?naomba na wewe utueleze hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.