Recent content by Dr-Rick

  1. Dr-Rick

    Hata sijielewi..

    ni psycology tu hauna tatizo!
  2. Dr-Rick

    Kuwashwa...

    sio kawaida kuwasha! ni wewe unatatizo hilo?
  3. Dr-Rick

    Msaada wa matibabu

    Sijakuelewe ukisema shufaa unamaanisha nin? Ila jaribu kutumia "cotrimozole" hii ni dawa yakupaka itakusaidia na kila ukitoka kuoga ujifute vyema huko chini
  4. Dr-Rick

    Sababu za tatizo la kutokwa na damu puani (Mhina), jinsi ya kuzuia na tiba yake

    Tatizo hili kisayans hujulikana kama "epitaxis" husababishwa na vitu vingi ikiwemo kurithi kwa mfano mtoto anaweza kurith "haemorage talengtasia" kutoka kwa wazazi Hii ni hali ambayo inafanya mwili kushindwa kugandisha damu kwa wakati au haraka, vile vile damu zinaweza kutoka puani kama mtu...
  5. Dr-Rick

    Msaada wa matibabu

    Unajisikiaje ukiwa unajikuna? Je kuna vipele nakama vipo vinatoa maji au nivikavu?
  6. Dr-Rick

    Blood groups: Differences and conspiracy theories, ukweli ni upi?

    Maisha yanawezekana bt impact inakuja kama mtoto atachukua ile Rh postive kwa baba then wakat anazaliwa kwenye kukata kitovu damu ya mtoto ikachanganyikana na ya mama then mama atatengeneza antbodies agnst zile Rh postive, so kulingana na kwamba immunoglobin G inatabia ya kupita kwenye placenta...
  7. Dr-Rick

    Ukimwi unaniuwa kwa haraka jamani

    Pole! Ila usiamini HIV Streps sometime huwa vina react even wit malaria! Bt kama umefanya na Determine then UN GOLD vika react vyote posibilty ya kukosekana HIV kwenye elisa ni ndogo sana!ila usiogope
  8. Dr-Rick

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Nenda kwanza hosptal kubwa yenye maabara ya kisasa then wafanye seriological test for detection of H.pylor antbodies ndipo uanze medication! Kapime kwanza usikimbilie dawa.
  9. Dr-Rick

    Je, manii/shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

    Hakuna madhara kama mume wako hatakuwa na maambukiz yoyote kwan hata bacteria huish kwenye spermatozoa! Kumbuka sperm is protein in nature ina kichwa chenye nucleus,mitocondria na mkia!hivyo tu! So it not bad!
  10. Dr-Rick

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Inaweza ikaambukizwa kwan kama ni intestinal ulcer inaweza kuambukizwa kwan kuna baadh ya bacteria ambao wana sababisha vidonda vya tumbo kama "H pyroli" C difficel ambao huambukizwa kwa njia ya chakula! Na matibabu yapo.
  11. Dr-Rick

    Nini sababu ya hii kitu

    Una umri gan? Nin ukifanya unasikia miguu imetulia?je unapotezaga fahamu au kuumwa sana na kichwa? Je ni mifupa ya miguu tu au na mikono?
  12. Dr-Rick

    Nina tatizo naomba msaada

    Unaumri gan na umeanza mapenz ukiwa na umri gan? Je ulisha wah kusumbuliwa na ugonjwa wowote mkubwa? Je ni aina gan ya dawa ambazo unapenda kutumia ukiumwa na magonjwa madogomadogo kama kichwa,mwil kuchoka,mafua?
  13. Dr-Rick

    Hii imekaaje wakuu

    Nacho weza kusema ni kwamba UTI ni neno pana sana kwan ukiangalia kirefu chake ni "urinary tract infection" kwa hiyo utaona sio ugonjwa bat ni maambukizi yote yanayo tokea kwenye njia ya mkojo! Kuna wadudu wengi sana hufanya maambukiz kwenye njia hii kama erichiarichia coli,p aurigenos,k...
  14. Dr-Rick

    Hii imekaaje wakuu

    Swali ni kwamba vipimo vya maabara vilisema ana UTI?
  15. Dr-Rick

    Hii imekaaje wakuu

    Alikutwa na uti?
Back
Top Bottom