siku zote medical personel huwa hana maneno ya mtaan km #ishazngu ndo hzo comment za kijinga kijinga sitaki kuziona kwenye thread wakati unaulizia maswala ya ki-medical
unajua hili ni jukwaa la watu wakubwa. sitaki comment za ajabu ajabu. Ifike mahala mwe na adabu.#probability iz it hivyo ndivo unategemea ukasome medical.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.