Recent content by Dr Norman

  1. Dr Norman

    Fahamu sayansi ya ufanyaji kazi wa uume na matatizo yanaweza kupelekea uwezo wa nguvu za kiume kupungua

    Kuna tofauti kubwa kati ya kushindwa kusimamisha uume (erectile dysfunction) na kuwahi kumwaga (premature ejaculation) , visababishi ni toauti na matibabu ni tofati.
  2. Dr Norman

    Fahamu sayansi ya ufanyaji kazi wa uume na matatizo yanaweza kupelekea uwezo wa nguvu za kiume kupungua

    Hahaha kuna umri ukifika bila mguso gari haliwaki. vijana uhitaji picha tu , ila wazee hadi starter ya kuguswa
  3. Dr Norman

    Fahamu sayansi ya ufanyaji kazi wa uume na matatizo yanaweza kupelekea uwezo wa nguvu za kiume kupungua

    Ufanyaji kazi wa uume unategemea ushirikiano wa vitu vinne katika usawaziko sawa; mfumo wa neva za fahamu, mfumo wa homoni, mfumo wa mishipa ya damu na mfumo wa akili na saikolojia. Ili uume usimame na kuendelea kusimama tendo huamshwa na mfumo wa akili na taarifa husaifiri kupitia mfumo wa...
  4. Dr Norman

    Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

    Sawasawa ndugu niliteleza nilimaanisha matumizi ya x ray katika tiba yalihasisiwa na Marie Curie, alitengeneza mashine zinazotembea aliziita Little Curie ili kupiga wanajeshi walioumia
  5. Dr Norman

    Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

    NHIF inacover huduma zote ila kwa MRI utahitaji kibali chao kabla ya kufanya. Package za bima nyingine sizifahamu.
  6. Dr Norman

    Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

    Xray ziligunduliwa na Rontgen Matumizi ya x-ray katika kugundua magonjwa yalihasisiwa na mwanamama mwanasayansi Marie CURIE kutoka Poland, alitumia katika vita ya dunia kutibia wanajeshi walioumia vitani.
  7. Dr Norman

    Fahamu vipimo mbalimbali vya picha vinavyotumika hospitalini kuchuguza magonjwa

    Katika tiba vipimo vya radiolojia ni muhimu sana kwenye uchunguzi wa magonjwa mbalimbali, vipimo vingine hutumika kama tiba. Hivi ni baadhi ya vipimo ambavyo hutumika hospitalini. NB : Vipimo hutofautiana ufanisi wa kuangalia viungo vya ndani. 1. KIPIMO CHA ULTRASOUND Ultrasound ni kipimo...
  8. Dr Norman

    Tatizo la kupata hedhi nyingi kupita kiasi na athari zake kiafya

    Matibabu ya fibroids yameganyika makundi 3 makuu: 1. Matibabu ya fibroids kutumia dawa 2. Matibabu ya fibroids kwa njia ya upasuaji na 3. matibabu ya fibroids kwa njia ya kuziba mishipa ya damu inayohudumia uvimbe Njia ya upasuaji ndio msingi mkuu wa matibabu wa fibroids maana huleta matokeo...
  9. Dr Norman

    Tatizo la kupata hedhi nyingi kupita kiasi na athari zake kiafya

    Kabla ya UPASUAJI WOWOTE kitu muhimu kuangalia huwa ni faida na hasara za operation husika. Upasuaji huu huitwa myomectomy katika tiba. Hasara za kuwa na fibroids ni pamoja na kutoka damu nyingi wakati wa hedhi, maumivu ya tumbo na mgongo, matatizo ya uzazi. Hivyo upasuaji huwa na umuhimu...
  10. Dr Norman

    Tatizo la kupata hedhi nyingi kupita kiasi na athari zake kiafya

    Kupata hedhi kupita kiasi ni moja ya matatizo ya uzazi yanayosumbua wanawake wengi. Tafiti zimeonyesha kwa kila wanawake 1000; wanawake 53 kati ya huwa na tatizo la kupata hedhi kupita kiasi. Ni theluthi tu ya wanawake wenye shida ya hedhi hutafuta tiba stahiki kwa daktari wengi hukaa nayo kwa...
  11. Dr Norman

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Makosa wanayofanya kwenye matibabu ya fangasi: 1. Kutumia dawa kwa mfupi na kuacha baada ya dalili kuisha; wakati mizizi ya fangasi bado ipo ndani 2. Kutibu fangasi wa eneo moja na kuacha maeneo mengine. Mara nyingi fangasi wa usoni au kwenye pumbu hutoka miguuni katikati ya vidole lakini...
Back
Top Bottom