Habari zenu, nimeona kwenye mtandao mmoja huku team nyingi za riadha kutoka Tanzania zimejiandikisha kushiriki Kigali Peace Marathon..
Kama mwenzenu ningeomba mnitumie kutafuta affordable accomodation huku..
Vilevile kuna comission kwa atakayeniunganisha na group au watu watakao kuja..
Ndio...
Kigali poa hoteli ya wastani unapata kwa frw 25,000 hiyo ni self contained with wifi breakfast included..
Lakini hata 10000Frw unapata pakulala yote inategemea na budget yako.
Unaweza kuchukulia temporary passport mpakani mkuu, ila wambie kuwa unadharura either unakuja msibani au utafute sababu nyingine otherwise utarudishwa..
Kalibu Kigali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.