Recent content by Dr Jeremiahs

  1. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania For your peace of mind, don’t try to understand everything

    "Kwa nia njema kabisa ya kuitunza amani ya moyo, usitafute kujua kila kitu" Ni jambo jema kujua ukweli wa mambo kwa marefu na mapana, lakin kuna baadhi ya mambo acha yakupite Tu ili kutunza amani yako. Wakati mwingine hata kwa Mpenzi wako usitafute kujua kila kitu kuhusu yeye, wanadamu...
  2. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Mwanamke napaswa kushika kwenye uanamke wake hata kama amelolewa na mwanajeshi. Sio kwamba kuna shida mwanamke kufuatilia vita vya Ukraine ila HAKUNA FAIDA YOYOTE atakayoipata kwa kufuatilia vita vya Ukraine. Kufuatilia habari ni sifa za mwanaume ndio maana ata wazee wetu enzi zao akifika...
  3. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    I guess umeninukuu vibaya Katika hoja yangu sijamaanisha kuwa mwanamke anapaswa kuwa kilaza, Mjinga Mjinga, Mshamba, au mpumbavu. Hakuna mwanaume anayehitaji mwanamke aina hiyo. Point yangu ni kuwa kuna muda mwanamke anapaswa kuwa kama mtoto kwa mumewe. Asiwe mjuaji sana, awe mwenye akili kwa...
  4. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    I guess umeninukuu vibaya Katika hoja yangu sijamaanisha kuwa mwanamke anapaswa kuwa kilaza, Mjinga Mjinga, Mshamba, au mpumbavu. Hakuna mwanaume anayehitaji mwanamke aina hiyo. Point yangu ni kuwa kuna muda mwanamke anapaswa kuwa kama mtoto kwa mumewe. Asiwe mjuaji sana, awe mwenye akili kwa...
  5. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Ignorance na ushamba unazungumzia wewe sio sifa ya mwanamke. Wala haija wahi kuwa sifa yake. I guess unaniquote vibaya. Katika hoja yangu sijamaanisha kuwa mwanamke anapaswa kuwa kilaza, Mjinga Mjinga, Mshamba, au mpumbavu. Hakuna mwanaume anayehitaji mwanamke aina hiyo. Point yangu ni kuwa...
  6. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Katika wote walioelewa uzi wewe ni no moja. Yaani ata me nimeelewa zaid. Unalozungumza ndio nilitaka kulizungumzia. "A female must posses femine characters" asa kuna watu wamekazana unaogopa maisha unaogopa maisha.
  7. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Mkuu mke akupangie mipango wewe, akupe challenge wewe. Wa kwangu nitampangia mimi na maswala ya uchumi sio kazi yake. Kazi yake ni kuitunza ndoa, kufanya ibada kulea watoto kwenye maadili, ndani pawe sawa basi. Yaani akili yake na passion yale yote iwe kwa Mungu, Mume, watoto na ndoa kiujumla...
  8. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Kuna mwanamke kilaza na Mjuaji. Hawa wote hawafai. Nazungumzia mwanamke ambaye ni kama mtoto kwa mama yake. Akili ya mama ndio akili yake ila sio yeye kuwa mjuzi wa mambo kuliko mamaye.
  9. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Sijapigwa na chochote Mkuu. Niko na amani na furaha na Ndoa yangu. Na hayo ndio niliyoyashuhudia baada ya kukutana na mwanamke asiyemjuaji.
  10. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Kwann unasema ivo Mkuu. Nna mke na tunapenda sana. Ana akili kiasi na sio mjuaji sana. Ni maoni yangu Tu kwamba mke akiwa mjuaji sana ndani hamtaelewana. Mwangalie mke wa Billgate na wanawake wote wenye akili nyingi.
  11. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Mbona jazba kaka mkubwa 😅 uko sawa kweli?
  12. Dr Jeremiahs

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    😅 anajua mpka kutumia jicho la tatu
Back
Top Bottom