Wadau hivi ni nani anamamlaka ya kuteua hawa watu wanaitwa waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri kwani nia aibu kuona baadi ya mikoa haina waganga wakuu wa mikoa kwa zaidi ya miaka miwili na halmashauri zaidi ya 90 hazina waganga wakuu wa halmashauri. hii ni tatizo kwa mamlaka za uteuzi za wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.