Recent content by Dpk

  1. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Wako vizuri sana
  2. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Kwa wanaofanya kazi za aya Sasa elfu 7 kwa cku, kwamwez c 210,000 tu
  3. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Anakula shavu uyo ,lkn kweny ela ndo kakosa, kampuni zinategemeana
  4. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Ungejua kazi zetu hazina mapumziko, Tunafanya kazi masaa mengi, Tunahamishwa mikoa mda wowote saa yoyote. ilibidi watulipe ata million mbili kwa mwezi.
  5. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Watu wanafungua mashine na kuchange wanalipwa laki na nusu Mzee, kampuni zinatofautiana, na watu wanalipwa million sio mpk uwe mkalimani, mimi mwenyewe nalipwa laki nane lkn ata kichina cjui Inategemea cheo, uzoefu wa kazi na kazi waliyokupa, hawajaligi elimu Hawa jamaa, kuna mtu ana degree...
  6. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Kuna wengine wanalipwa laki na nusu kwa mwezi km mshahara, lkn kuna wengine mshahara wanapokea Million moja na kuendelea, inategemea na cheo na mda ambao uko kazini
  7. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Nimekuja kukugundua watanzania wanajifanyaga wajuaji ata kwa kitu ambacho hawajui, ucpoteze pumzi yako, ndo maana nchi yetu wachina na wazungu wanakuja kujizolea ela za bure tu humu na hawaangaiki kuelimisha mtu, watakuajili watakulipa ata laki TATU mpk million moja, uku wenyewe wanaingiza...
  8. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Io ela ndogo Sana kwao, boss wangu anatembea na million 2 kwa ajili ya matumizi ya Kila siku tu, yani km ww ulivokuwa na bajeti ya kutumia kwa siku 6,000 yeye ndo ela ambayo anatembea nayo kwa matumizi ya cku moja ,pisi za kibongo kupewa laki mbili kugongwa apo apo ni swala la kawaida Sana kwake
  9. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Mimi sitoki ndani ya ofisi, kwaio sijui ata ziko sehemu gani, wanaozunguka site ndo wanajua zilipo
  10. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Subiri siku nikiacha kazi, ntagawa information zote ,ikiwemo jina la kampuni Lkn kwa sasa bado sijafikia malengo yangu, angalau ata kwa mwezi mshahara ufike million 1 ndo malengo yatafika haraka, bado Sana aisee, mupoe tu.
  11. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Cwezi reveal io information maana Mimi pekee kwenye kampuni nzima, nahusika kweny mahesabu, kibarua kitaota nyasi bure 😂 Hlf cjafaidi mshahara bado
  12. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Siku nikiacha kazi kwa Hawa jamaa nitaonesha document za kuprove faida wanazopata kila mwezi, hlf tuwaone sasa mnakomenti tena, nione mtasemaje.
  13. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Silazimishi mtu kuamini, uo mtazamo wako lkn uo ndo uhalisia niliosema
  14. D

    Biashara ya bonanza, dubwi

    Hahaha unajuaje km mmejiunga Leo 😂,ww mshamba hujui kuwa unaeza kutengeneza ata account kumi kweny social media
Back
Top Bottom