Recent content by Dorrynyakato

  1. D

    Nawakaribisha Chuo kikuu cha Dodoma

    Kwa wahitimu wa form six napenda kuwajulisha pia wakati mnachagua degree program pia kuna program kama za bachelor's of science in. Chemistry, biology, physics, mathematics and statistics. Watu wengi huwa wanazidharau hizi programs but ni kwa sababu hawajui vizuri undani wake na mapana yake...
  2. D

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Alikuwa anataka taxation mkuu sasa kwa matokeo take chuo gani kinatoa hiyo program
  3. D

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Wakuu naombeni ushahuri wenu Nina mdogo wangu kamaliza form six mwaka MCHEPUO WA HGE AMEPATA DDD JE ANASTAHILI KWENDA KUSOMA NN KULINGANA NA HIYO COMBINATION UKIACHILIA MASWALA YA COMPETITION YA NAFASI , MAANA MM SIO MWENYEJI WA HIYO MCHEPUO...
Back
Top Bottom