Recent content by Dori89

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nimemlipia binti mahari lakini bado ananizungusha

    Huyu dada hakupendi, hata mm nisingekubali, ulitakiwa umtongoze muwe kwenye lavidavi kabla ya mambo ya ndoa, amekuitikia tu ndio kwasababu wazaz walikuwepo. Na anaona niolewe nae bas hta nitambe mtaani mwanaume Ana nyumba ila kuoa na kumlaza kwenu na hakupendi usitegemee ndoa hapo. Ila kwel...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Aina ya single mother unayeweza kuingia naye kwenye ndoa

    Aisee sio wote. Kama mm aisee yule msela akijisikia anaongea na mwanae namtoa mtoto wanaongea mm nipo pembeni yaan hata ipite kitu cha ajabu tutaishia kuangalia no connection. Na hofu tu nikimwacha na mtoto atakimbia nae nisimuone tena.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Aina ya single mother unayeweza kuingia naye kwenye ndoa

    Sio single mom wote wabaya, wengine wamepita kwenye mahusiano mabaya sana, kama mtu unajitoa kumpenda yeye na mwanae just have faith umepata mke mwema, na sio kwamba single mom wote ni wema, wengine wamebeba visas, wengine wapo kipesa zaidi. Mchunguze mtajua. Ila sisi ni watu wazuri tu wenye...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawanitaki, nahisi nina mkosi mkubwa

    Pole. Tafuta wengine kama aina flani unapenda na hawakutak tafuta wengine wa kundi lingine
  5. D

    JamiiForums Tanzania Ukiachwa unatakiwa usikilize nyimbo gani ili roho itulie

    Lift me up by rihanna
Back
Top Bottom