Recent content by dopbuoy

  1. D

    SoC04 Matumizi ya Akili Bandia katika Sekta ya Afya ya Tanzania

    Sasa hivi kuna jitihada kubwa ya serikali kuhama from physical medical records kwenda digital medical records hii itatengeneza data repository kubwa ambayo mofumo ya AI inawaze kutumika kuchambua ilikugundua mapema magonjwa, kufanya mashauriano ya mbali na kuleta tiba zitakazo mlenga mgonjwa...
  2. D

    SoC04 Matumizi ya Akili Bandia katika Sekta ya Afya ya Tanzania

    Karatasi ya Dhana(Concept paper): Matumizi ya Akili Bandia katika Sekta ya Afya ya Tanzania 1. Utangulizi Sekta ya afya nchini Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na upatikanaji mdogo wa huduma za afya bora, rasilimali chache za matibabu, na upungufu wa wataalamu wa...
Back
Top Bottom